Thursday 2 February 2017

MICHEZO


CAMEROON KUKIPIGA NA MISRI FAINALI YA AFCON BAADA YA KUICHAPA GHANA 2-0
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjxaVapeASGjCOqxMpV9L4REGMdpGhyrgMPqEGGyYKvOIOD3Mpwy06DSBXpAcT20zZ0qUFF9B5aul5NE5AOBP1I265jYdv_k9MOz2s82zsIdUH9p0-b1RVNxQ2ehWXVk2vbyTa3H6L3wnc/s1600/Cameroon.jpeg
Timu ya taifa ya Ghana usiku wa February 2 2017 inaungana na timu ya taifa ya Burkinafaso kuiga michuano ya AFCON 2017, hivyo inatokana na kukubali kipigo cha goli 2-0 kutoka kwa timu ya taifa ya Cameroon katika mchezo wao wa nusu fainali ya pili ya AFCON.        Magoli ya Cameroon yalifungwa na Michael Ngadeu dakika ya 72 kabla ya Christian Bassogog kuzima ndoto za Ghana kucheza fainali dakika za nyongeza, ushindi huo unaifanya Cameroon kutinga fainali ya AFCON 2017 na watacheza na fainali dhidi ya Misri, fainali ambayo itakuwa inajirudia ya mwaka 2008 ambapo Misri alimfunga Cameroon kutwaa taji lake la sita.                                                           

No comments:

Post a Comment