Sunday 5 February 2017

AFCON 2017:CAMEROON WON THE FIFTH AFCON CUP IN FRONT OF EGYPT

CAMEROON YATWAA TAJI LA KOMBE LA MATAIFA AFRICA(AFCON2017) KWA MARA YA TANO BAADA YA KUICHAPA MISRI 2-1

Usiku wa February 5 ndio siku ambayo mchezo wa fainali ya mataifa ya Afrika maarufu kama AFCON 2017 ulichezwa,  mchezo wa fainali ya AFCON 2017 ulikuwa unazikutanisha timu za Misri dhidi ya Cameroon, lakini Cameroon wamefanikiwa kufuta uteja kwa kufungwa fainali mbili.
d caption
Cameroon wamefanikiwa kutwaa taji la AFCON 2017 kwa mara ya tanobaada ya kupata ushindi wa goli 2-1 zidi ya misri ambayo ndio ilitangulia kupata bao kupitia kwa mchzaji wake wa kimataifa ambaye anaichezea club ya Arsenal Mohammed Elnely, katika dakika ya 20 tu ya mchezo, matumaini ya cameroon yaliibuka baada ya Nicolas N’koulou kufunga goli la kusawazisha katika dakika ya 58,Vincent Aboubakar mshambuliaji wa Basiktas ndio alizima ndoto za Misri baada ya  kufunga goli la ushindi katika dakika ya 88 ya mchezo
.
ushindi huo unakuja baada ya Cameroon kufumgwa fainali mbili za AFCON na Misri, alifungwa fainali ya AFCON 2008 goli 1-0 Mohamed Aboutrika akifunga goli hilo, lakini walipoteza fainali ya AFCON 1986, Cameroon wanakuwa wamechukua taji lao la tano laAFCON wakati Misri wanabakia na rekodi yao ya kuchukua mataji nane ya AFCON.

No comments:

Post a Comment